BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Moja kwa moja, Makumi ya watu wauawa katika mashambulizi ya Israel nchini Lebanon
Israel inasema imeshambulia maeneo 100 ya miundombinu ya Hezbollah na wapiganaji wake nchini Lebanon, baada ya Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu kuapa "kuiangamiza" Hezbollah.
WARIDI WA BBC: 'Nilitokwa na haja ndogo bila kukoma kwa miaka minne'
Shirika la afya ya uzazi la Umoja wa Mataifa - UNFPA na Wakfu wa Fistula wanakadiria kuwa visa vipya vya fistula 1,000 hadi 3,000 hutokea nchini Kenya kila mwaka.
Rare Earth: Je, madini haya yataleta maajabu Tanzania?
Madini muhimu ya Rare Earth Elements, yanaundwa na kundi la kemikali 17 zenye sifa za kipekee, na ni muhimu katika teknolojia mbalimbali za kisasa.
Ndege za kivita za Marekani zaonekana karibu na Cuba, vita vinanukia?
Les données de suivi montrent plusieurs vols effectués par des avions de reconnaissance et des drones de l'US Navy au cours de la semaine dernière.
Jinsi Mahmoud Ahmadinejad alivyogeuka fumbo la vita Iran
Mwanasiasa huyo mwenye kauli kali kuwa mmoja wa watu ambao maafisa wa Israel walikuwa wakiwataja mara kwa mara kuelezea kile walichokiita "tishio la Iran" kwa dunia.
Wanamichezo 10 wanaolipwa fedha nyingi zaidi Duniani 2026
Huku ligi ulimwenguni kote zikichapisha rekodi ya mapato na wawekezaji wakimimina pesa taslimu ili kuendeleza upanuzi zaidi, mastaa hao wakubwa wa michezo kwa muda mrefu wameweza kutegemea nyongeza ya mishahara ya kila mwaka.
Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.
Urani ni nini na inatumika vipi kuunda silaha za nyuklia na uzalishaji wa nishati?
Vita vya Marekani na Israel na Iran kwa mara nyingine tena vimeibua tena suala la silaha za nyuklia na hatari ya kuenea kwa silaha hizo.
Iran yasema bado kuna vikwazo kufikia makubaliano na Marekani
Makubaliano yanayojadiliwa yanaripotiwa kuhusisha kuongeza muda wa kusitisha mapigano hadi siku 60, kufungua tena Mlango-Bahari wa Hormuz na mpango wa mazungumzo zaidi kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.
Zawadi 6 'walizokomba' Arsenal baada ya kutwaa ubingwa wa EPL
Arsenal wameandika historia mpya baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi kuu ya England msimu wa 2025/26, wakimaliza ukame wa miaka 22 bila taji la ligi. Ubingwa huu umeambatana na heshima, zawadi na mafanikio makubwa ndani na nje ya uwanja.
Sikiza / Tazama
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Ni nani anayelinda meli eneo la Ghuba na Bahari ya Shamu?
Je, ni miungano gani maarufu zaidi ya kijeshi kwa sasa inayolinda usafiri wa baharini katika eneo la Mashariki ya Kati?
Raúl Castro akabiliwa na mashataka ya uhalifu lakini chanzo cha migogoro kati ya Cuba na Marekani ni nini?
Cuba iko kwenye misukosuko ya kiuchumi na nishati kufuatia shinikizo la hivi karibuni kutoka kwa utawala wa Donald Trump na kupoteza uungwaji mkono kutoka Venezuela baada ya kuondolewa madarakani kwa kiongozi wa zamani Nicolás Maduro mnamo mwezi Januari.
WARIDI WA BBC: 'Nina sehemu mbili za uke'
Abigael Kendi, binti mwenye umri wa miaka 19, kutoka Kenya amezaliwa na mlango wa kizazi mara mbili, tumbo la uzazi mara mbili, uke mara mbili na figo moja.
Kiongozi wa ISIS aliyelengwa na Marekani kaskazini mashariki mwa Nigeria
Rais wa Nigeria Bola Tinubu alithibitisha tarehe 16 Mei kifo cha afisa mkuu wa Islamic State (IS), Abu Bilal al-Manuki (au al-Mainuki), wakati wa operesheni ya pamoja ya kijeshi na Marekani.
DR Congo yafunga kambi ya mazoezi ya Kombe la Dunia kufuatia mlipuko wa Ebola
Maandalizi ya timu ya taifa yamehamishiwa Ubelgiji huku maambukizi ya ugonjwa huo uliosababiisha vifo vya zaidi ya watu 130 ukiendelea yakiendelea kuenea.
Kutoka kukimbia ndoa ya utotoni na 'mzee' hadi kuwa mke wa rais
Maisha binafsi ya mmoja wa wanawake wenye ushawishi mkubwa kisiasa barani Afrika yamefichuliwa katika mahojiano maalum ya kipekee ya BBC World Service.
Ebola ni nini na kwa nini kuzuia mlipuko huu ni vigumu sana?
Mlipuko wa Ebola katika Democratic Republic of the Congo unahusisha aina adimu ya virusi na unatokea katika eneo lililoathiriwa na migogoro.
J-10C Fighters: Nini kinazifanya ndege hizi za kivita kuwa hatari zaidi?
Moja ya sababu kubwa zinazofanya J-10C kupewa hadhi ya ndege hatari ni uwezo wake wa kushambulia adui kabla hata ya kuonekana kwenye rada za kawaida.
Kwa nini maambukizi ya kaswende na kisonono yamefikia viwango vya juu barani Ulaya?
Kisonono na kaswende, miongoni mwa maambukizi mengine ya zinaa (STIs), vinafikia viwango vya juu vya rekodi barani Ulaya.
Vinywaji vya kuongeza nguvu vina madhara gani kwa vijana?
Wataalam wa afya wanahofia watu wengi wanategemea vinywaji hivi bila kuelewa kikamilifu madhara yake kwa afya.
CHADEMA vs Msajili, vita vya panzi au mgogoro wa mfumo?
Kwa takribani miaka kadhaa sasa, uhusiano kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa CHADEMA, umekuwa ukichukua sura ya mvutano wa mara kwa mara.
Injili Klabuni: Mtindo mpya wa kuwavuta vijana katika injili
Mamia ya vijana walijitokeza jijini Nairobi kuhudhuria hafla ya Misa ya tatu {'Third Service',} hafla inayochanganya muziki wa injili, dansi, ibada na burudani katika mtindo mpya wa kuwafikia vijana kupitia imani na muziki wa kisasa.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 27 Mei 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Listen Live, Amka Na BBC, 06:59, 27 Mei 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 27 Mei 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 26 Mei 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani



















































