Madini ya urani yatabaki Iran - Mojtaba Khamenei

Chanzo cha picha, Getty Images
Kiongozi mkuu wa Iran, Mojtaba Ali Khamenei, ametoa agizo kuwa madini ya urani yaliyorutubishwa, hayafai kuruhusiwa kutoka nje ya Iran, shirika la habari la Reuters limeripoti.
Iran imesisitiza kuwa hawako tayari kusalimisha madini hayo, licha ya Marekani kusisitiza kuwa wanafaa kusitisha mpango wao wa nyuklia.
Agizo la Mojtaba Khamenei, huenda likalemaza juhudi za kupatikana kwa amani nchini humo kupitia mazungumzo ya amani yanayoendelea.
Trump aidha amesema hapo jana kuwa, hawataruhusu Iran kumiliki madini hayo au kuendelea na mpango wao wa nyuklia
Pia unaweza kusoma:





