Familia ya Lungu yashinda kesi dhidi ya serikali

Familia ya Lungu yashinda kesi dhidi ya serikali
Iliyochapishwa

Mahakama ya Rufaa ya Afrika Kusini imeamua kwamba rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu, anaweza kuzikwa nchini Afrika Kusini kulingana na matakwa ya familia yake.

Serikali ya Zambia imesema kwamba ingawa haikubaliani na uamuzi huo, haitaendela na suala hilo.

Frank Mavura na maelezo zaidi