BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
'Nchimbi sio chawa' – Warioba
Amesema kauli mbalimbali zilizotolewa na Nchimbi katika nafasi zake za uongozi zilikuwa zikieleza mtazamo wake binafsi kuhusu namna siasa zilivyopaswa kuendeshwa nchini.
Nchimbi kufuata nyayo za Maalim Seif au kina Lowassa?
Katika historia ya siasa za Tanzania, wanasiasa waliowahi kuwa na nafasi kubwa ndani ya CCM lakini wakaondoka au kuondolewa wamewahi kuchukua njia tofauti kuhusu siasa na mustakabali wao kwenye nafasi za kisiasa. Nchimbi atachagua njia ipi?
Moja kwa moja, Lissu anahitimisha ushahidi wake kesi ya uhaini
Upande wa Mashataka umemaliza kumuuliza maswali ya dodoso Lissu ambaye anahitimisha ushahidi wake kabla ya mashahidi wengine wa upande wa utetezi kuanza kutoa ushahidi wao
Je, ni rahisi kuifanya Iran kuwa maskini kuliko kuilazimisha kusalimu amri?
Siku moja baada ya kutangazwa kwa kampeni mpya ya Marekani ya kuweka shinikizo la kiuchumi dhidi ya Iran, vyombo vikuu vya habari nchini humo vilikubaliana katika jambo moja
Mambo 10 yatakayokusaidia kuwa tajiri
Si rahisi kuanzisha biashara na kuifanya ifanikiwe bila kuweka juhudi na kufikiri kwa kina. Mambo haya yamekuwa msingi wa mafanikio yaliyowafanya baadhi ya watu matajiri zaidi duniani kuwa mabilionea.
Moja kwa moja, Iran yaweka masharti kabla ya kufungua tena Mlango Bahari wa Hormuz
Marekani, kwa upande wake, inaendelea kusisitiza kuwa Mlango wa Hormuz uko wazi na kwamba mabomu ya baharini yameondolewa, huku ikisema hakuna mazungumzo yaliyopangwa kwa sasa na Iran.
"Ukikimbia wanakupiga risasi, ukijificha wanachoma nyumba"
"Ukikimbia kuingia katika chumba, wanachoma chumba hicho moto," anasema Fatima, akielezea shambulio la hivi karibuni katika kijiji chake Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria. "Ukitoka nje na kuanza kukimbia, wanakupiga risasi."
Ndejembi kumrithi Nchimbi, ni mwanasiasa wa aina gani?
Iwapo atathibitishwa kwa mujibu wa taratibu za kikatiba, Ndejembi mwenye umri wa miaka 43 atachukua nafasi iliyoachwa na Nchimbi, ambaye alijiuzulu baada ya kuitumikia kwa takriban miezi 10.
Tetesi za Soka Ijumaa: Arsenal bado wamng'ang'ania Alvarez
Arsenal bado wanamfukuzia mshambuliaji Julian Alvarez, Manchester City wanamtaka Iliman Ndiaye wa Everton, huku Aston Villa wakiwasiliana moja kwa moja na AC Milan kuhusu winga Rafael Leao.
Nchimbi afukuzwa CCM
Uamuzi huo umetangazwa na Katibu Mkuu wa CCM, Balozi Dk Asha-Rose Migiro, baada ya vikao vya Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya chama vilivyofanyika jijini Dar es Salaam chini ya uenyekiti wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Je, Nchimbi na Gachagua wameponzwa na misimamo yao kisiasa?
Ingawa walihudumu katika nchi mbili tofauti na chini ya mifumo tofauti ya kisiasa, hatima za Emmanuel Nchimbi wa Tanzania na Rigathi Gachagua wa Kenya zimeibua mjadala unaofanana kuhusu uhusiano kati ya marais na manaibu wao, hasa pale tofauti za kisiasa zinapoanza kujitokeza.
Vigogo watano wa CCM waliioondoka katika nyadhifa zao chini ya Rais Samia
Tangu rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kuingia madarakani, kuna wanasiasa kadhaa cha Chama cha Mapinduzi (CCM), ambao wameondoka kwa hiari au kwa shinikizo katika nafasi zao.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Timu 5 za kutazama katika Ligi Kuu ya England msimu huu
Arsenal ilitwaa ubingwa wa ligi hiyo mwaka jana kwa mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 22, na timu hiyo itakuwa ikilenga kutwaa taji hilo kwa mara ya pili mfululizo na kufuata nyayo za Manchester City, ambayo ilitawala mashindano hayo kwa karibu miaka 10 chini ya Pep Guardiola.
Tundu Lissu: Kuwa na kesi ya kujibu maana yake nini?
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa uamuzi kuhusu Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini humo, Tundu Lissu, kwamba ana kesi ya kujibu katika shtaka la uhaini linalomkabili. Hatua hii ina maanisha nini?
Siri Yafichuliwa: Kwa nini Bomu la Nagasaki halikuweza kuzuiwa
Mnamo tarehe 9 Agosti 1945, bomu la plutonium liliangushwa katika mji wa Nagasaki nchini Japan, na hivyo kuhitimisha Vita vya Pili vya Dunia.
Silaha 9 za teknolojia ya juu zitakazobadili vita vya siku zijazo
Leo uwanja wa vita unaelekea kwa kasi kwenye silaha zisizoonekana, kupitia akili unde, sumakuumeme, na anga ya juu.
Je, Iran itaishambulia Ulaya?
Iran inaweza kushambulia vituo vya kijeshi vya Marekani barani Ulaya iwapo Donald Trump ataishambulia Iran tena, gazeti la Financial Times linaripoti.
Nani anafadhili magenge ya wahuni kuchochea ghasia za kisiasa Kenya?
Polisi nchini Kenya wamewakamata watu 37 wanaoshukiwa kuhusika na ghasia za kisiasa, baada ya kukutwa na silaha mbalimbali katika kaunti za Kisumu na Homa Bay. Ni nani yuko nyuma ya makundi haya ya vijana?
Bidhaa 8 zilizobadilisha dunia
Apple inatimiza miaka 50, safari yenye mafanikio makubwa, changamoto na bidhaa zilizobadilisha dunia. Tunaangazia bidhaa zilizoifanya Apple kuwa kampuni tunayoijua leo.
Kazungu: Kada wa CCM azungumza na BBC alivyotekwa na kuteswa
Kazungu alitekwa tarehe 04 Agosti akiwa nyumbani kwake akijiandaa kuoga, ambapo watekaji walimchukua kwa nguvu, kumuingiza katika gari aina ya Land Cruizer na kuzunguka naye kwa masaa mengi, kwa mwendo wa kasi huku akiwa amefungwa kitambaa cheusi usoni na pingu mikononi.
Elon Musk ataka kujenga jiji mwezini, ndoto yake inawezekana?
Hivi karibuni, Elon Musk alitangaza mpango wa kujenga mji kwenye Mwezi; alisema kuwa mpango huo unaweza kutekelezwa ndani ya muda usiozidi muongo mmoja na kwamba mji huo utakuwa na uwezo wa kukua na kuendelea kwa kujitegemea.
Iran na Marekani kuingia awamu mpya ya vita?
Iran na Marekani zimeingia katika hatua mpya ya mvutano, huku makubaliano yakikwama na vita vya kiuchumi vikiongezeka. Nani atalegeza kamba?
Ellen: Binti anayewafuatilia simba 300 wenye vitambulisho Serengeti
Kwa miaka mitatu, mwanasayansi huyo amekuwa akiwafuatilia simba katika Serengeti, akijifunza maisha yao mmoja baada ya mwingine, huku akikabili hatari za kuwa karibu nao.
Mji unaomtengenezea Trump makombora
Mkazi mmoja anasema kuwa katika eneo la Kingsport, Tennessee, lililoko katika ukanda wa milima ya Appalachian, kuna makanisa mengi kiasi kwamba inaonekana kana kwamba kuna kanisa katika kila barabara.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Dira Ya Dunia, 18:29, 28 Agosti 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 28 Agosti 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 28 Agosti 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 27 Agosti 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani























































