Trump alinganisha ushuru wa kimataifa na athari za soko kama ‘unywaji dawa’
Trump amepuuza kusuasua huko kwa masoko ya hisa akisema saa nyingine lazima tu unywe dawa
Muhtasari
- Machifu wa Kenya waliotekwa nyara waachiliwa baada ya miezi miwili
- Makumi ya watu wafariki baada ya mvua kubwa kunyesha katika mji mkuu wa Congo
- Sensa za upelelezi za nyambizi ya nyuklia zapatikana katika pwani ya Uingereza
- Vifaa vya upelelezi vya Urusi, vyatishia usalama wa Uingereza - Times
- Waziri wa Ulinzi wa Uingereza akutana na familia ya Agnes Wanjiru aliyeuawa Kenya
- Mlipuko wa ugonjwa wa surua waua watoto wawili Marekani
- Kobe wa miaka 100 awashangaza wanaikolojia akijifungua watoto wanne
- Netanyahu atishia kulipiza kisasi huku Hamas ikilaumu Israel 'kuwalenga watoto katika kijiji cha Tufah'
- Kuondolewa kwa misaada ya USAID kwawaweka wanawake wajawazito hatarini- UN
- Watu 30 wafariki kutokana na mafuriko DRC
- Trump alinganisha ushuru wa kimataifa na athari za soko kama 'kula dawa'
