BBC News, Swahili - Habari
Habari Kuu
Hegseth aonya Marekani itarejesha kizuizi cha majini makubaliano ya Iran yasipozingatiwa
Makubaliano hayo yenye vipengele 14, yanabainisha kuwa Iran haitamiliki silaha za nyuklia. Pia yanaanzisha mfuko wa dola bilioni 300 kwa ajili ya "ujenzi upya na maendeleo ya kiuchumi" ya Iran.
Hatari tatu zinazotishia makubaliano ya Iran na Marekani
Baada ya wiki kadhaa za mazungumzo, Marekani na Iran zimefikia makubaliano ya awali, lakini tayari umakini umeelekezwa kwenye changamoto kubwa zinazoweza kuzuia kumalizika kwa vita.
Milio ya risasi yasikika katika uwanja wa ndege wa mji mkuu wa Niger
Niger imekuwa ikipambana na waasi wa Kiislamu kwa muongo mmoja na mwezi Januari watu wanaoshukiwa kuwa wanajihadi walishambulia uwanja huo huo wa ndege.
Mwanamke anayeokoa nyoka dhidi ya binadamu
'Kulinda nyoka si suala la uhifadhi wa viumbe pekee, bali pia ni hatua muhimu katika kuokoa maisha ya binadamu kupitia maendeleo ya dawa zinazotokana na sumu ya nyoka', anasema mtaalam wa wanyama Taiwo Okikiola.
Enzi ya mizinga inafikia mwisho, Ukraine inataka kuirudisha vipi kwenye uwanja wa vita?
Uongozi wa Jeshi la Ukraine una azma ya kubadili hali hii ya kile kinachoitwa "udhaifu wa mizinga" katika siku za usoni.
Mambo muhimu 14 waliyokubaliana Iran na Marekani
Makubaliano ya Marekani na Iran ya kuongeza muda wa usitishaji mapigano kati ya nchi hizo mbili yamesainiwa na sasa yameanza kutekelezwa, afisa mmoja kutoka ikulu ta White House ameiambia BBC.
'Tunahofia maisha yetu': Muda wa mwisho kwa wahamiaji kuondoka Afrika Kusini wakaribia
Waandamanaji wameweka tarehe 30 Juni kuwa siku ya mwisho kwa wahamiaji wote wasio na nyaraka halali kuondoka nchini.
Kombe la Dunia 2026: DRC chupuchupu wamchezeshe Ronaldo ndombolo ya solo, Ureno 1vs DRC 1
Wawakilishi wa Afrika DRC waliotoka nyuma na kusawazisha dakika ya mwisho ya kipindi cha kwanza. Ni vory Coast pekee kutoka Afrika aliyeanza na ushindi. Afrika Kusini, Tunisia, Senegal, Algeria zilianza kwa kipigo wakati Morocco, Cape Verde na Misri zenyewe zilianza kwa sare.
Kombe la Dunia 2026: Ratiba, msimamo na matokeo
Kombe la Dunia 2026: Nchi tatu, viwanja 16
Tetesi za usajili: Man Utd na Spurs 'zatoana roho' kwa Summerville
Manchester United na Tottenham zamuwania Summerville, Chelsea yamfuatilia Diogo Costa huku Cambiaso naye akiwa kwenye rada zao
Sababu tatu zinazozuia meli kupita Hormuz licha ya makubaliano ya Marekani na Iran
"Kufunguliwa kwa mlango huo kunaweza kutokea haraka kwa mtazamo wa kisiasa au kiusalama, lakini kurejea kwa mfumo wa kawaida wa biashara ya meli kutakuwa mchakato wa taratibu," anasema Dimitris Ampatzidis wa Kpler.
Kwa nini viongozi wa dini ya Kiislamu wanakamatwa Urusi?
Kuanzia 2023 kumekuwa na mfululizo wa "uvamizi" kwenye maeneo ya ibada ya Waislamu, ambapo wahamiaji walikamatwa na kupelekwa moja kwa moja kwenye ofisi za usajili na uandikishaji wa kijeshi
Kombe la Dunia 2026 - Mechi na Matokeo
Pata matokeo, ratiba za mechi, magoli na wafungaji mubashara wa Kombe la Dunia 2026 sehemu moja.
Unataka kupunguza gharama za data?
Soma mtandao wetu wa maandishi kwa gharama ndogo za data.
Gumzo mitandaoni
Ifahamu droni ya baharini iliyotumiwa na Marekani kuwaokoa wanajeshi wake
Hiki ni kisa cha kwanza kinachojulikana ambapo chombo kisicho na rubani kimetumika kutekeleza kazi ya uokoaji.
Je, wanadamu wanaweza kupata watoto katika anga za juu?
Jumuiya ya watafiti wa anga za juu imetoa ahadi kubwa kuhusu mustakabali wa maisha ya binadamu nje ya Dunia.
Ziara ya Rais Samia Urusi: Tulichojifunza na maswali mapya
Wakati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiitembelea Urusi wiki hii, vichwa vya habari katika vyombo vya habari vya kimataifa, vinasomeka, “Rais wa Tanzania aitembelea Urusi, huku uhusiano na Magharibi ukizorota.”
CCM kuna Yuda au ni homa ya urais 2030?
Mitandao ya kijamii nchini Tanzania imelipuka kwa mjadala kuhusu jina moja tu - "Yuda". Limeibuliwa na mwanasiasa Simai Mohammed Said. Yuda ni nani? Kwanini Simai ameamua kuzungumza sasa? Na kwa nini achague Bunge, badala ya vikao vya chama, kuwasilisha ujumbe huo?
Kwanini Kim Jong-un huwa hamzungumzii mama yake?
Ko alifariki kabla ya Kim Jong-il, ila kifo chake katika hospitali moja mjini Paris hakikutajwa na vyombo vya habari vya Korea kaskazini.
Kuanzia Makonda hadi Mafwele, hawa ni 'vigogo' 5 Afrika Mashariki waliopigwa marufuku kuingia Marekani
Nchi za Afrika Mashariki, zimekumbwa na vikwazo vya watu wake kuzuiwa kuingia Marekani huku majina makubwa ya kisiasa na kiusalama, kutoka Tanzania, Kenya, hadi Rwanda na Uganda yakiguswa.
Hali ya maisha katika nchi tano salama zaidi duniani 2026
Viwango vya jumla vya amani vilizorota katika nchi 99, ikiashiria mwaka wa kumi na mbili mfululizo wa kushuka kwa hali ya usalama ulimwenguni.
Hifadhi za urani iliyorutubishwa za Iran ziko wapi?
Shirika la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA) lilisema wakati huo kwamba Iran ndiyo nchi pekee isiyo na silaha za nyuklia duniani iliyofikia kiwango hicho cha juu cha urutubishaji.
Mataifa 10 ya Afrika yaliyo na uwezo mkubwa wa kiviwanda: Morocco yaipiku Afrika Kusini
Afrika imeshuhudia mabadiliko katika ukuaji wa kiuchumi kati ya Morocco na Afrika Kusini mwaka uliopita 2025, kulingana na Kielezo cha Maendeleo ya Viwanda cha Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB)
Kutoka kivuli hadi alama ya nguvu duniani, Putin alijengaje taswira yake?
Kwa miaka mingi, Vladimir Putin ameibadilisha Urusi kutoka taifa lenye demokrasia changa na dhaifu kuwa dola yenye mfumo wa kiutawala wa kimabavu ambao kwa kiasi kikubwa umejengwa kumzunguka yeye kama rais.
Kauli tata za wanasiasa wanaohama vyama Tanzania
Ingawa kisheria kuhama chama ni haki ya kikatiba ya kila mwanasiasa, mjadala mkubwa hubaki kwenye maneno waliokuwa wakiyasema wakati wakiwa kwenye vyama wanavyovihama, maneno ambayo mara nyingi huonekana kugongana na hatua zao za baadaye.
Kwa nini Netanyahu anatajwa kuwa kikwazo katika makubaliano ya amani kati ya Marekani na Iran?
Vyombo vya habari vya Uingereza vilijadili masuala mbalimbali ya ndani na ya kimataifa, ikiwemo maendeleo ya juhudi za kufikia makubaliano kati ya Marekani na Iran na nafasi ya Israel katika hilo.
BBC News Swahili sasa ipo WhatsApp
Vipindi vya Redio
Listen Next, Amka Na BBC, 05:59, 19 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Dira Ya Dunia, 18:29, 18 Juni 2026, Muda 1,00,00
Kipindi cha habari, makala na mahojiano cha kila siku kuanzia saa kumi na mbili unusu jioni Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 06:59, 18 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Sikiliza, Amka Na BBC, 05:59, 18 Juni 2026, Muda 29,30
Kipindi cha habari, mahojiano na makala kila siku saa kumi na mbili na saa moja asubuhi Afrika Mashariki
Dira ya Dunia TV
Kipindi cha habari motomoto, kinachowaweka watazamaji karibu zaidi na yanayojiri duniani
























































